Subscribe:

Ads 468x60px

Guyz naombeni mnisaidie eti HASHIM THABIT anacheza timu gani


Guyz naombeni mnisaidie eti HASHIM THABIT anacheza timu gani?

    • Amosy Morchy Kibangali Memphis grillerz
      8 hours ago via mobile ·  ·  1

    • Andy Mapunda Chelsea Asante amos.dah huyu jamaa bora arudi2 nyumbani maana huko achez.
      8 hours ago via mobile · 

    • Kijo Madeleka Hasheem Thabit alichukuliwa na Memphis Grizzlies kutoka College. Hawakuridhika na mwenendo wa kiwango chake wakampeleka timu ya Dakota Wizard katika D-League (Development League) ili akapate uzonefu na aweze kucheza vizuri NBA. Huko alifanya vizuri wakamrudisha kucheza NBA lakini bado akashindwa kuwaridhisha Memphis wakaamua kumuuza Houston Rockets huko napo hakuweza kuonyesha kiwango na wamempeleka tena D-League ili apate uzoefu na kuongeza kiwango. Kwa hiyo hadi sasa Hasheem ni mchezaji wa Houston Rockets lakini kwa sasa anachezea Rio Grande Valley Vipers ktk D-league.
      Hayo ndo maelezo machache kuhusu ndugu yetu Hasheem Thabit naamini utakuwa umenipata fresh mdau Andy Mapunda Chelsea

      7 hours ago ·  ·  2

    • Andy Mapunda Chelsea Nimekupata kijo thax.

No comments:

Post a Comment