Fernando Torres sasa amecheza mechi ya 20 bila kufunga bao kwa timu yake ya Chelsea. Torres ambaye alitolewa half time na nafasi yake kuchukuliwa na Drogba – sasa ameanza kujihakikishia nafasi yake katika listi ya wachezaji ambao Chelsea walitumia pesa nyingi kuwanunua lakini wakashindwa kuperform vizuri.
Torres sasa anaongezeka katika listi inayowajumuisha wachezaji wengine walionunuliwa na Chelsea kwa bei mbaya lakini wakashindwa kufanya vizuri kama vile Andrain Mutu, Mateja Kezman, Andry Shevchenko na hataChris Sutton kama worst signings of Chelsea ever.
Kwa hisani ya:http://www.shaffihdauda.com/
No comments:
Post a Comment