Subscribe:

Ads 468x60px

Hivi ndo tunataka soka letu likuwe kwa mwendo huu tutafika, kwa kitendo cha jana wachezaji wa YANGA kumpiga mwamuzi sio cha uzalendo kabisa, iliniuma sana sio siri!! Je wewe binafsi unasemaje? Comment!!!

Polisi akiwazuia wachezaji wa yanga waliokua na hasira na refa.

Refa akikimbia kichapo baada ya kutoa kadi nyekundu nyingine kwa wachezaji wa Yanga ambao mpaka mpira unamalizika, walichapwa 3-1 na AZAM.

Baadhi ya mashabiki wa Yanga wanaodaiwa kuhusika na hizo fujo.

No comments:

Post a Comment