![]() |
Polisi akiwazuia wachezaji wa yanga waliokua na hasira na refa. |
![]() |
Refa akikimbia kichapo baada ya kutoa kadi nyekundu nyingine kwa wachezaji wa Yanga ambao mpaka mpira unamalizika, walichapwa 3-1 na AZAM. |
![]() |
Baadhi ya mashabiki wa Yanga wanaodaiwa kuhusika na hizo fujo. |
No comments:
Post a Comment