Akiongea na mtandao wa footy-ghana.com,Badu amesema kashtushwa sana na taarifa za kustaafu kwa Gyan na pia amesikitishwa na kitendo cha washabiki wa Ghana kuimiminia matusi makali familia ya Gyan tangu baada ya tukio la kukosa penati kwenye michuano ya kombe la mataifa ya afrika
"matusi yamezidi,waghana hawatambui mchango wa Gyan katika timu ya taifa,yeye ndie mfungaji anaeongoza katika timu yetu,hivyo hii ni habari mbaya kwa Ghana.Familia yake haikustaili matusi yote hayo"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment